HABARI MSETO (HEADER)


 


Breaking

September 25, 2015

KAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA REACH FOR CHANGE WAZINDUA SHINDANO LA WAJASIRIAMALI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Meneja Mkuu wa Tigo, Diego Gutierrez (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa shindano la Wajasiriamali ambapo ametoa wito kwa watu kushiriki ili wajiweke katika nafasi ya kushinda fedha taslimu dola za kimarekani 20,000 ambazo kila mshindi atapewa azitumie katika utekelezaji wa mawazo yao ya kibunifu.
  Meneja wa nchi wa Reach for Change, Peter Nyanda, akizungumza katika mkutano huo.
 Muhasisi wa Mfuko wa APPS and Girls, Carolyne Ekyasisiima, akizungumza jinsi mfuko huo unavyofanyakazi ya kusaidia watoto katika masomo.
 Mwanzilishi wa Shule Direct, Iku Lazaro akizungumza kwenye uzinduzi huo.

No comments:

Post a Comment

Pages