August 07, 2016

UTT AMIS YATOA ELIMU KUHUSU UWEKEZAJI WA PAMOJA KATIKA MAONESHO YA NANENANE-ARUSHA

Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS ndugu Daudi Mbaga akitoa elimu kwa wananchi kwenye viwanja vya Nane Nane Arusha.
 Bi Ashura Kassim wa UTT AMIS akiwasaidia wananchi wa mkoa wa Arusha kujiunga katika uwekezaji wa pamoja.
 Mwekezaji mpya wa UTT AMIS, akifurahia kujiunga na Uwekezaji wa Pamoja katika Maonesho ya Nane Nane mjini Arusha.

No comments:

Post a Comment

Pages

â–¼