SIMBA YAIGONGA YANGA KWA PENALT 4-2
Mshambuliaji wa Sima, Laudit Mavugo akimtoka mchezaji wa Yanga, Mwinyi Haji katika mchezo wa Nusu Fainali ya Michuano ya Kombe la Mapinduzi uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar. Simba ilipata Penalt 4-2. (Na Mpiga Picha Wetu).
No comments:
Post a Comment