HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

August 03, 2018

RAIS DKT. SHEIN AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MEYA WA JIMBO LA GORONTALO NA KIONGOZI WA KAMPUNI YA GESI NCHINI INDONESIA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Meya wa Jimbo la Gorontalo Prof. Nelson Pamalingo wakati wa mkutano na meya huyo yaliyogusia ushirikiano wa kilimo cha minazi. Mazungumzo hayo yalifanyika mjini Jakarta, Indonesia.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein na ujumbe wake katika mazungumzo na Meya wa Jimbo la Gorontalo Prof. Nelson Pamalingo wakati wa mkutano na meya huyo.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza balozi wa Tanzania nchini Malaysia Dk. Ramadhani Dau (wa pili kuli), wakati wa mazungumzo na uongozi wa Kampuni ya Mfuta na Gesi ya Pertamina ya Jakarta, Indonesia.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na kiongozi wa Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Pertamina, Daniel Purba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein,akiwa na ujumbe wake katika mazungumzo na Uongozi wa Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Pertamina.








No comments:

Post a Comment

Pages