Ofisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Mortgage Refinance Company (TMRC), Oscar Mgaya (kushoto), akibadilishana hati ya makubaliano na Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Institute of Bankers (TIOB), Patrick Mususa, kwa ajili ya kuandaa kozi ya Mortgage Finance iliyozinduliwa jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande).
Ofisa
Mtendaji Mkuu wa Tanzania Mortgage Refinance Company (TMRC), Oscar
Mgaya (kushoto), akisaini makubaliano na Mkurugenzi
Mtendaji wa Tanzania Institute of Bankers (TIOB), Patrick Mususa, kwa
ajili ya kuandaa kozi ya Mortgage Finance iliyozinduliwa jijini Dar es
Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Institute of Bankers (TIOB), Patrick Mususa, akitoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa kozi ya Mortgage Finance jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Institute of Bankers (TIOB), Patrick Mususa, akitoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa kozi ya Mortgage Finance jijini Dar es Salaam.
Washiriki.
Mkutano ukiendelea.
Washiriki.
Mkurungezi wa Masuala ya Fedha wa Benki Kuu (BoT) Alexander Ng’winamila, akitoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa kozi ya Mortgage Finance jijini Dar es Salaam.
Mkurungezi wa Masuala ya Fedha wa Benki Kuu (BoT) Alexander Ng’winamila, akitoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa kozi ya Mortgage Finance jijini Dar es Salaam.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Mortgage Refinance Company (TMRC), Oscar Mgaya, akitoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa kozi ya Mortgage Finance jijini Dar es Salaam.
Mkurungezi wa Masuala ya Fedha wa Benki Kuu (BoT) Alexander Ng’winamila, akitoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa kozi ya Mortgage Finance jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Institute of Bankers (TIOB), Patrick Mususa, akitoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa kozi ya Mortgage Finance jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Institute of Bankers (TIOB), Patrick Mususa, akitoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa kozi ya Mortgage Finance jijini Dar es Salaam.
Washiriki.
Mkutano ukiendelea.
Washiriki.
Mkurungezi wa Masuala ya Fedha wa Benki Kuu (BoT) Alexander Ng’winamila, akitoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa kozi ya Mortgage Finance jijini Dar es Salaam.
Mkurungezi wa Masuala ya Fedha wa Benki Kuu (BoT) Alexander Ng’winamila, akitoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa kozi ya Mortgage Finance jijini Dar es Salaam.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Mortgage Refinance Company (TMRC), Oscar Mgaya, akitoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa kozi ya Mortgage Finance jijini Dar es Salaam.
Mkurungezi wa Masuala ya Fedha wa Benki Kuu (BoT) Alexander Ng’winamila, akitoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa kozi ya Mortgage Finance jijini Dar es Salaam.
Mwakilishi wa Azania Bank akitoa mada.
NA MWANDISHI
WETU
KATIKA
kuboresha mfumo wa utoaji mikopo ya nyumba hapa nchini Taasisi ya Mikopo ya
Nyumba Tanzania (TMRC) na Taasisi ya Benki Tanzania (TIOB) wamekubaliana
kuanzisha kozi itakayoendeleza taaluma ya kibenki.
Akizungumza
jana jijini Dar es Salaam, Ofisa Mtendaji Mkuu wa TMRC, Oscar Mgaya, alisema
kwamba mfumo wa utoaji mikopo ya nyumba bado ni mchanga na unahitaji maboresho.
Alisema
kwamba kazi ya msingi ya TMRC ni kutafuta mitaji ya muda mrefu ili kukopesha
mabenki ili nayo waweze kukopesha wateja wao mikopo ya nyumba ya muda
mrefu.
Mgaya
alisema, ili kutekeleza majukumu yake TMRC kama mdau muhimu katika sekta hii
inalazimika pia ishiriki katika kuboresha mazingira ya mfumo mzima wa mikopo ya
nyumba Tanzania.
Alisema TMRC
imeboresha vyanzo vya fedha kwa kwenda kwenye soko la hisa na mitaji, ambapo
watatoa mikopo ya nyumba kwa mabenki yote na taasisi za fedha Tanzania.
“Tumepunguza
riba za mikopo yetu kwa mabenki na taasisi za fedha, lakini pia TMRC imeanza
kushiriki katika ukuzaji na uimarishaji wa soko la hisa na mitaji kwa kutoa
hati fungani kama namna ya kukusanya mitaji ya ndani ya nchi na kwa nia ya
kutumia fedha hizo kukopesha mabenki,”alisema Mgaya.
kwa ajili ya mabenki kutoa mikopo ya nyumba
kwa wateja wao. Hili litafanikiwa Zaidi
kama riba za dhamana za serikali zitaendelea kushuka.
Akizungumzia
kozi hiyo Mgaya alisema Maofisa wa mabenki na taasisi za fedha zaidi ya 300
wamepitia mafunzo hayo.
Alisema
pamoja na ushirikiano mpya na TIOB, TMRC pia itaendelea kushirikiana na Chuo
cha Benki Kuu Mwanza kuendelea kutoa kozi ya mikopo ya nyumba.
Mkurugenzi Mtendaji
wa TIOB, Patrick Mususa, alisema kwamba wameamua kuandaa kozi hiyo ili
kuzingatia fursa zilizopo na changamoto zinazoikabili sekta ya fedha nchini.
Aidha aliwashauri
wafanyakazi wa mabenki na taasisi za
fedha kuhudhuria mafunzo ya utoaji bora wa mikopo ya nyumba.
Mkurungezi
wa Masuala ya Fedha wa Benki Kuu (BoT) Alexander Ng’winamila, alisema kwamba kozi
ya masuala ya mikopo ya nyumba ni muhimu katika sekta ya kibenki.
Alisema
lengo la ushirikiano huo ni kuongeza wigo wa utoaji elimu na kukamilisha lengo
la uwepo wa mradi wa mfumo wa mikopo ya nyumba (HFP).

No comments:
Post a Comment