Mkuu
wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akizungumza na Balozi wa Korea nchini Song, Geum-young
wakati balozi huyo alipotembelea Makao makuu ya Polisi Dar es Salaam ambapo
walizungumza mambo mbalimbali ya kuimarisha Uhusiano. (Picha na Jeshi la Polisi).
Mkuu
wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akizungumza na Balozi wa Korea nchini Song, Geum-young
wakati balozi huyo alipotembelea Makao makuu ya Polisi Dar es Salaam ambapo
walizungumza mambo mbalimbali ya kuimarisha Uhusiano.
Mkuu
wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akimkabidhi jarida la Polisi Balozi
wa Korea nchini Song, Geum-young baada ya kufanya mazungumzo ya kuimarisha
uhusiano Makao makuu ya Polisi Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment