WAZIRI wa Kilimo, Mh. Daniel Chongolo @daniel_godfrey_chongolo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Gerald Mweli @gerrygeofrey , wamekabidhi hekari 500 kwa vijana wa Shamba Tour wanaoongozwa na Emmanuel Mgaya @mkandamizaji ikiwa ni jitihada za Serikali katika kuunga mkono kilimo kwa vijana.





No comments:
Post a Comment