HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 14, 2014

KCC YATWAA KOMBE LA MAPINDUZI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akimkabidhi Kombe la Mapinduzi Nahodha wa Timu ya KCC ya Uganda  Kawoya Fahad, baada ya kuifunga Simba 1-0 katika mchezo wa fainali ya Kombe la Mapinduzi uliochezwa katika uwanja wa Amaan Mjini Zanzibar. 
(Picha na Ramadhan Othman Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Pages