HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

December 11, 2016

NAPE: WADAU JITOKEZENI KUDHAMINI TUZO ZA MUZIKI


Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akiwasalimia baadhi ya mashabiki waliofika kuhudhulia sherehe za Tuzo za Filamu na Muziki za EATV 2016 zilizofanyika Desemba 10, 2016 Jijini Dar es Salaam.


Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na watangazaji wa EATV mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Mlimani City kuhudhulia hafla ya tuzo za Filamu na Muziki za EATV zilizofanyika Desemba 10, 2016 Jijini Dar es Salaam.


Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (katikati) akifuatilia burudani mbalimbali kutoka kwa  wasanii wa ndani na nje ya nchi wakati wa hafla ya tuzo za Filamu na Muziki za EATV zilizofanyika Desemba 10, 2016 Jijini Dar es Salaam.


Baadhi ya wasanii wa muziki wakitoa burudani katika hafla ya utoaji tuzo kwa wanamuziki na wasanii wa Filamu(EATV Awards 2016) zilizofanyika Desemba 10, 2016 Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Pages