HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

October 07, 2017

UTT AMIS YASHIRIKI MAONYESHO YA TAASISI ZA KIFEDHA

 Wananchi wakipata huduma katika banda la UTT AMIS katika maonyesho ya Taasisi za Kifedha yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakipata huduma katika banda la UTT AMIS katika maonyesho ya Taasisi za Kifedha yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
 Wananchi wakipata elimu juu ya uwekezaji wa pamoja.
 Ofisa Masoko wa  UTT AMIS akitoa elimu pamoja na huduma kwa wawekezaji wa zamani na wapya wa UTT AMIS katika katika Maonyesho ya Tasisi za Fedha yanayofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Pages