HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

June 04, 2019

IGP SIRRO ATAKA UPELELEZI WA KESI UKAMILIKE HARAKA

 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akizungumza na askari (hawapo Pichani) wanaopata Mafunzo ya Upelelezi katika Chuo cha Maafisa wa Polisi Kurasini, Dar es salaam, ambapo IGP Sirro aliwataka askari hao kuhakikisha kuwa upelelezi wa kesi unakamilika haraka.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro (wapili kulia), akimsikiliza Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai DCP Charles Kenyera, wakati akitoa hotuba mbele ya askari (hawapo Pichani) wanaopata Mafunzo ya Upelelezi kwenye Chuo cha Maafisa wa Polisi Kurasini, Dar es Salaam.
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akimsikiliza Rais wa kampuni ya Huawei Kanda ya Afrika, Leo Chen,  alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es salaam na kujadiliana masuala mbalimbali  ikiwemo namna mifumo ya tekinolojia ya mawasiliano inavyoweza kufanyakazi kwenye suala la kuwabaini wahalifu. Picha na Jeshi la Polisi.

No comments:

Post a Comment

Pages