HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

June 05, 2019

RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN AJUMUIKA NA WAUMINI WA DINI YA KIISLAM KATIKA SALA YA EID FITRY VIWANJA VYA MAISARA SULEIMAN ZANZIBAR

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk Alhajj Ali Mohamerd Shein, akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi alipowasili katika viwanja vya Maisara Suleiman kuhudhuria Ibada ya Sala ya Eid Fitry leo,5-6-2019. (Picha na Ikulu).
 SHEIKH Khamis Gharib Khamis akiongosa Sala ya Eid Fitry katika viwanja vya Maisara Suleiman leo, (Picha na Ikulu).
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk Alhajj Ali Mohamed Shein, akishiriki katika Ibada ya Sala ya Eid Fitry iliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman leo, baada ya kumalizika kwa mfungo wa Mwezi Mtuku wa Ramadhani, (Picha na Ikulu).
 WAUMINI wa Dini ya Kiislam Kisiwani Zanzibar wakifuatilia Hutba ya Sala ya Eid Fitry ikisomwa na Sheikh Khamis Gharib Khamis, katika viwanja vya Maisara Suleiman leo. (Picha na Ikulu).
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisikiliza Hutba ya Sala ya Eid Fitry baada ya kumalizika kwa Sala hiyo iliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman, kushoto Sheikh Abdalla Talib, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Balozi Seif Ali Iddi na kulia Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi. (Picha na Ikulu).
 BAADHI ya Viongozi na Wananchi wakifuatilia Hutba ya Sala ya Eid Fitry iliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja leo. (Picha na Ikulu).
 WAUMINI wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakifuatiula hutba ya Sala ya Eid Fitry katika viwanja vya Maisara Suleiman leo ikisomwa na Sheikh Khamis Gharib Khamis. (Picha na Ikulu).
 MZEE Khatib akifutilia hutuba ya Sala ya Eid Fitry katika viwanja vya Maisara Suleiman leo baada ya kumalizika kwa sala hiyo.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiitikia dua ikisomwa na Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali katika viwanja vya Maisara Suleiman baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid Fitry leo. kushoto Sheikh Abdalla Talib na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Balozi Seif Ali Iddi na kulia Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi. (Picha na Ikulu).
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Dkt. Amani Karume baada ya kumalizika Sala ya Eid Fitry katika viwanja vya Maisara. (Picha na Ikulu).
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akimsalimia Mtoto Abdalla Waziri baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid Fitry katika viwanja vya Maisara Suleiman leo asubuhi. (Picha na Ikulu).

No comments:

Post a Comment

Pages