HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 13, 2020

MGOMBEA MWENZA CHADEMA APOKELEWA KIFALME MOSHI MJINI

 Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu, akiwapungia mkono wananchi waliojitokeza katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Manyema Kata ya Njoro Mjini Moshi leo Septemba 13, 2020.

Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu, akihutubia wananchi waliojitokeza katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Manyema Kata ya Njoro Mjini Moshi leo Septemba 13, 2020.
Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu, akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Moshi Mjini leo Septemba 13, 2020.
Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu, akipeana mkono na mgombea ubunge jimbo la Moshi Mjini, Raymond Mboya, katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Manyema Kata ya Njoro Mjini Moshi leo Septemba 13, 2020.
Mgombea ubunge jimbo la Moshi Mjini, Raymond Mboya, akiwapungia mkono wananchi waliojitokeza katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Manyema Kata ya Njoro Mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro leo Septemba 13, 2020.
Mgombea mwenza nafasi ya Makamu wa Rais kupitia Chadema, Salum Mwalimu, akimnadi mgombea ubunge jimbo la Moshi Mjini, Raymond Mboya, katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Manyema Kata ya Njoro Mjini Moshi leo Septemba 13, 2020.

Umati wa watu uliofika katika kampeni za mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu.
Umati wa watu uliofika katika kampeni za mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu.
Wagombea udiwani kwa tiketi ya CHADEMA katika jimbo la Moshi Mjini.

No comments:

Post a Comment

Pages