November 09, 2020

MAKAMU WA RAIS AMJULIA HALI MKUU WA WILAYA YA MLELE

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimjuilia hali Mkuu wa Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi, Recho Kasanda, aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu leo Nopvemba 09,2020.

No comments:

Post a Comment

Pages