HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 18, 2023

Singida Big Stars yapata CEO mpya

Bodi ya Wakurugenzi ya Singida Big Stars imefanya mabadiliko katika ofisi ya Mtendaji Mkuu kwa kumteua John Kadutu kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu akichukua nafasi ya Dismas Ten.


Kadutu aliyewahi kuwa Mbunge wa Tabora (Buzwagi) ametangzwa rasmi katika nafasi hiyo baada ya kuibuka kwa sintofahamu ya nafasi ya Ten ndani ya kikosi hicho.


Pia Bodi hiyo imemuongezea majukumu kocha wa timu ya vijana Muhibu Kanu ambaye ameteuliwa kuwa msaidizi katika Ofisi ya Mtendaji Mkuu.

No comments:

Post a Comment

Pages