HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 12, 2014

SHEREHE ZA MAPINDUZI YA ZANZIBAR ZAFANA
 Rais wa zanzibar, Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia wananchi baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Amaan mjini Zanzibar leo.
 Wananchi wakifuatiliasherehe za Mapinduzi kwenye uwanja wa Amaan
 Umati uliohudhuria sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi kwenye uwanja wa Amaan.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikagua gwaride la  vikosi vya ulinzi katika kilele cha miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar kwenye uwanja wa Amaan leo.
  Dk.Shein akikagua gwaride.
 Wimbo a Taifa la zanzibar ukiimbwa kwenye kilele cha sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi.
 Askari wakitoa heshima kwenye uwanja wa Amaan zanzibar
 Vijana wa Chipukizi wakipita mbele ya jukwaa kuu.
 Wanajeshi wakitoa heshima kwenye uwanja wa Amaan

 Askari komandoo wakionyesha vitu vyao.
 Vifaa vya kijeshi vikipita mbele ya jukwaa kuu.
  Magari ya kivita ni sehemu iliyonogesha sherehe hizo 
Waamiaji nao wakipita na kutoa heshima zao. Picha zote na Martin Kabemba.

No comments:

Post a Comment

Pages