HABARI MSETO (HEADER)


June 27, 2014

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS MPYA WA MISRI MHE ABDEL FATTAH Al-SISI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akutana na kufanya mazungumzo na Rais mpya wa Misri Mhe Abdel Fattah Al-Sisi mjini Malabo, Equatorial Guinea, pembeni ya Mkutano wa kawaida wa Umoja wa Afrika. PICHA NA IKULU
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Rais mpya wa Misri Mhe Abdel Fattah Al-Sisi.

No comments:

Post a Comment

Pages