HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

October 22, 2016

NHC LAFANYA UHAKIKI WA VIKUNDI VYA VIJANA KATIKA MIKOA YA MWANZA, GEITA NA MARA

nc1
Jengo la ofisi linalojengwa na vijana wa kikundi cha Sarorya ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa vijana wa kutengeneza matofali ya kufungamana kupitia mashine zilizotolewa na NHC kama msaada kwa vijana. Wa Pili Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii, Susan Omari ambaye aliongoza ujumbe wa NHC katika uhakiki wa shughuli zinazofanywa na vijana hao baada ya kupewa msaada wa mashine.
nc2
Kanisa lililojengwa na vijana wa kikundi cha Hope Revival - Manispaa ya Musoma ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa vijana wa kutengeneza matofali ya kufungamana kupitia mashine zilizotolewa na NHC kama msaada kwa vijana.
nc5
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii, Susan Omari akiwa katika mahojiano na vyombo vya habari baada ya kuhakiki vikundi vya vijana wa Ukombozi Vijana Magu kwenye eneo lao la kazi wanalotegemea kujenga nyumba.
nc6
Moja ya kazi za vijana wa kikundi cha Sarorya - Halmashauri ya Rorya ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa vijana wa kutengeneza matofali ya kufungamana kupitia mashine zilizotolewa na NHC kama msaada kwa vijana.
nc10
Nyumba iliyogengwa na vijana Ukombozi Vijana Halmashauri ya Magu.
nc11
Nyumba iliyojengwa na vijana wa kikundi cha JOMUGI Maswa.
nc12
Nyumba iliyojengwa na vijana wa Misungwi.
nc13
Nyumba ya mwananchi iliyojengwa na vijana Rorya.
Picha ya pamoja na vijana wa kikundi cha Ukombozi Vijana Magu mble ya mojawapo ya nyumba ziliyojengwa na vijana hao
nc23
Ujumbe wa NHC ukipata maelekeo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Rorya Bw. Gasper Mago.

No comments:

Post a Comment

Pages