HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 16, 2018

PAMBANO LA YANGA NA STAND UTD KATIKA PICHA

Wachezaji wa Yanga wakishangilia katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga Stand United 4-3.
Beki wa Yanga, Paulo Nyanganya (kulia), akiwania mpira na mbele ya mshambuliaji wa Stand United, Sixtus Sabilo wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 4-3.

No comments:

Post a Comment

Pages