HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 28, 2019

DK. KIMEI AAGWA RASMI


 Dk. Kimei akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay.
 Dk. Kimei akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay.
  Dk. Kimei akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay.
  Dk. Kimei akiwasili katika Ukumbi wa Mlimani City.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto), akisalimiana na Dk. Kimei mara baada ya kuwasili katika Ukumbi wa Mlimani City.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto), akikumbatiana na Dk. Kimei mara baada ya kuwasili katika Ukumbi wa Mlimani City.

  Dk. Kimei akisalimiana na Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya CRDB.
Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurgenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay, Dk. Kimei na Mama Rose Kimei.
 Baadhi ya wakurugenzi wa Benki ya CRDB wakiwa katika hafla hiyo.
Baadhi ya wakurugenzi wa Benki ya CRDB wakiwa katika hafla hiyo.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay akimkabidhi mfano wa funguo wa gari mpya aina ya Toyota Land Cruiser VX V8 toleo la Mwaka 2018, Dk. Charles Kimei (katikati).
Wafanyakazi wa Benki ya CRDB wakisalimiana na Dk. Kimei wakati akiingia ukumbini.
Dk. Kimei na Mke wake Rose wakiingia ukumbini.
 Dk. Kimei akisalimiana na Mkurugenzi wa Benki ya CRDB-Mbeya, Benson Mwakyusa.

 Dk. Kimeia akipeana mkono na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenz, Ally Laay. Kulia Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akiwa na mke wake. Dk. Charles Kimei, akikata keki katika hafla maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya kumuaga rasmi iliyofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela na kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki hiyo, Ally Laay na katikati ni Mama Rose Kimei.



Dk. Charles Kimei, akikata ndafu katika hafla maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya kumuaga rasmi iliyofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki hiyo, Ally Laay na katikati ni Mama Rose Kimei.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto), akisaidiana na Mkurugenzi Mtendaji aliyemaliza muda wake Dk. Charles Kimei, kukata ndafu katika hafla maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya kumuaga rasmi Dk. Kimei iliyofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Wa pili kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki hiyo, Ally Laay na wa tatu kushoto ni mke wa Dk. Kimei mama Rose Kimei.
 Dk. Kimeiakimlisha ndafu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela.
Dk. Kimei akiwapungia mkono hadhara iliyofika katika hafla hiyo baada ya kukabidhiwa kiti maalumu kwa ajili ya kufanyia massage akiwa nyumbani.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wa pili kulia), akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji aliyemaliza muda wake Dk. Charles Kimei (wa tatu kushoto), zawadi ya picha akiwa na Marais wa Awamu mbalimbali wa Tanzania na Burundi katika hafla maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya kumuaga rasmi, iliyofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki hiyo, Ally Laay na wa pili kulia ni mke wa Dk. Kimei mama Rose Kimei (katikati).
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kulia), akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji aliyemaliza muda wake Dk. Charles Kimei (wa pili kushoto), zawadi ya picha akiwa na Marais wa Awamu mbalimbali wa Tanzania na Burundi. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki hiyo, Ally Laay na wa pili kulia ni mke wa Dk. Kimei mama Rose Kimei (katikati).
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kulia), akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji aliyemaliza muda wake Dk. Charles Kimei, moja kati ya zawadi zilizotolewa na menejimenti pamoja na wafanyakazi.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, akifungua champagne.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, akiwa ameshika ngao na mkuki.

 Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi akitoa akiitambulisha kamati yake.

No comments:

Post a Comment

Pages