HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

March 25, 2019

KAMATI YA MIUNDOMBINU YATAKA UJENZI WA NYUMBA ZA WATUMISHI MZANI WA DAKAWA

 Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akifafanua jambo kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kuhusu maendeleo  ya ujenzi wa kituo cha Mizani kinachojengwa Dakawa Mkoani Morogoro, wakati kamati hiyo ilipokagua mzani huo. Wa nne kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Suleiman Kakoso.
 Mafundi wa Kampuni ya Group Six International wakiendelea na ufungaji wa Kamera katika mzani mpya unaojengwa eneo la Dakawa mkoani Morogoro.
 Muonekano wa jengo la mzani mpya unaojengwa Dakawa Mkoani Morogoro. Mradi huo umekamilika kwa asilimia 98.
Mhandisi Mshauri Kasmir Mustapha (kushoto), akitoa taarifa kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kuhusu maendeleo  ya ujenzi wa kituo cha Mizani kinachojengwa Dakawa Mkoani Morogoro, wakati kamati hiyo ilipokagua mzani huo. Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

No comments:

Post a Comment

Pages