HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

May 16, 2019

SIMBA YARUDI KATIKA NAFASI YAKE TPL, YAICHAPA MTIBWA SUGAR 3-0

 Benchi la ufundi la timu ya Simba kabla ya mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mtibwa Sugar uliofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo. Simba imeshinda 3-0. (Na Mpiga Picha Wetu).
 Kikosi cha Mtibwa Sugar.
Kikosi cha Simba.
Mshambuliaji wa Simba, John Bocco (kushoto), akimtoka beki wa  Mtibwa  Sugar, Cassian Ponela,katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam leo.
John Bocco akiambaa na mpira.

No comments:

Post a Comment

Pages