Rais
Cyril Ramaphosa na mkewe Dkt. Tshepo Motsepe wakiwasili katika Uwanja
wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam usiku huu.
Rais Ramaphosa amewasili kwa ziara rasmi ya siku mbili nchini kabla ya
kuhudhuria Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi Wanachama za Jumuiya ya
Maendeleo ya Kusini kwa Afrika SADC.
Rais
Cyril Ramaphosa akipokewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Afrika Mashariki katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
jijini Dar es Salaam usiku huu. Rais Ramaphosa amewasili kwa ziara rasmi
ya siku mbili nchini kabla ya kuhudhuria Mkutano wa Viongozi Wakuu wa
Nchi Wanachama za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini kwa Afrika SADC.
Mambosasa. Rais Ramaphosa amewasili kwa ziara rasmi ya siku mbili nchini kabla ya kuhudhuria Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi Wanachama za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini kwa Afrika SADC.
Rais Cyril Ramaphosa akilakiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam usiku huu. Rais Ramaphosa amewasili kwa ziara rasmi ya siku mbili nchini kabla ya kuhudhuria Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi Wanacha. PICHA NA IKULU.


No comments:
Post a Comment