HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 05, 2014

TCAA, NHIF ZANG'ARA KATIKA MAONESHO YA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA MAPINDUZI ZANZIBAR
 Watumishi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) wakitoa maelezo kuhusu shughuli wanazozifanya walipotembelewa na wananchi mbalimbali waliohudhuria maonyesho ya kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika kwenye viwanja vya Betrasi mjini Unguja.
 Watumishi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) wakitoa maelezo kuhusu shughuli wanazozifanya walipotembelewa na wananchi mbalimbali waliohudhuria maonyesho ya kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika kwenye viwanja vya Betrasi mjini Unguja.
 Watumishi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), wakitoa maelekezo wa wanachama wa mfuko huo.
 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Perreira Ame Sillima akiwa katika banda la Bima ya Afya.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Perreira Ame Sillima akipima uzito kwenye banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), kwenye maonesho ya maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika mjini Unguja, jana. (Na Mpiga Picha Wetu)

No comments:

Post a Comment

Pages