Mshindi wa Wiki ya Kwanza ya Kampeni ya ‘Shuhudia Kombe la Dunia la Fifa 2018 na TemboCard Visa’, Mohamed Kinjenge (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na maofisa wa Benki ya CRDB.
Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa Benki ya CRDB, Willy Kamwela (wa pili kushoto), akizungumza na mshindi wa Wiki ya Kwanza ya Kampeni ya ‘Shuhudia Kombe la Dunia la Fifa 2018 na TemboCardVisa’, Mohamed Kinjenge, kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki, kabla ya kwenda nchini Urusi kushuhudia Fainali za Kombe la Dunia. Wengine wanaoshuhudia ni maofisa wa benki ya CRDB.
Mshindi wa Wiki ya Kwanza ya Kampeni ya ‘Shuhudia Kombe la Dunia la Fifa 2018 na TemboCard Visa’, Mohamed Kinjenge (katikati), akitoa neno la kushukuru.
Mshindi wa Wiki ya Kwanza ya Kampeni ya ‘Shuhudia Kombe la Dunia la Fifa 2018 na TemboCardVisa’, Mohamed Kinjenge (kulia), akisindikizwa na Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa Benki ya CRDB, Willy Kamwela (kushoto), wakati akielekea nchini Urusi kushuhudia Fainali za Kombe la Dunia kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.
Mshindi wa Wiki ya Kwanza ya Kampeni ya ‘Shuhudia Kombe la Dunia la Fifa 2018 na TemboCardVisa’, Mohamed Kinjenge, akifurahia safari yake ya kwenda nchini Urusi kushuhudia Fainali za Kombe la Dunia la Fifa 2018.
Kutoka kushoto ni Meneja Huduma za Kibenki kwa Njia ya Kielektroniki, Mangire Kibanda, Ofisa Masoko, Florence Mboli, Ofisa Uhusiano Mwandamizi, Willy Kamwela na Mohamed Kinjenge ambaye ndiye mshindi wa Wiki ya Kwanza.
No comments:
Post a Comment