HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

May 25, 2019

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AJUMUIKA KATIKA FUTARI NA WANANCHI WA MKOA WA KUSINU UNGUJA

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja  katika futari aliyowaandalia katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA)kushoto Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Hassan Khatib Hassan. (Picha na Ikulu).
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja  katika futari aliyowaandalia katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA)kushoto Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Hassan Khatib Hassan.
 WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakiwa katika ukumbi wa SUZA Tunguu Mkoa wa Kusini katika futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja katika futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk Ali Mohamed Shein, iliofanyika ukumbi wa Idara ya Uhamiaji Tunguu.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja katika futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk Ali Mohamed Shein, iliofanyika ukumbi wa Idara ya Uhamiaji Tunguu.
WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja akitowa neno la shukrani baada ya kumaliza hafla hiyo ya futari iliofanyika ukumbi wa SUZA Tunguu Zanzibar.
MKUU wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Hassan Khatib Hassan, akitowa neno la shukrani kwa Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, iliofanyika katika ukumbi wa SUZA Tunguu Zanzibar.
WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakiitikia dua baada ya kumalizika kwa hafla ya futari iliofanyika katika ukumbi wa SUZA Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiitikia dua ikisoma na Sheikh Abubakary Ally, baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Shein, kwa Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja,iliofanyika katika ukumbi wa SUZA Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja. 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na kuagana na Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja Mhe.Kitwana Idrisa Mustafa, wakifurahia jambo, wakiwa katika viwanja vya Chuo Kikuu cha SUZA Tunguu, kushoto Mwakilishi wa Tunguu Mhe. Simai Mohammed Said na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Hassan Khatib Hassan na kulia Sheikh Abubakary Ally.

No comments:

Post a Comment

Pages