HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

June 08, 2019

RAIS DK. SHEIN AZUNGUMZA NA UJUMBE WA TAASISI YA AL-HIKMA

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (hayuko pichani), baada ya kumaliza mazunguymzo na Ujumbe wa Taasisi ya Al -Hikma Foundation ya Jijini Dar es Saalam ukiongonzwa na Mkurugenzi  Mkuu Sheikh.Nurdin Muhammed Ahmed Kishki kulia Sheikh Suleiman Khamis Babib na Mussa Rajab Mushi, wakiwa katika ukumbi wa Ikulu.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mwenyekiti wa Taasisi ya Al -Hikma Foundation Zanzibar, Sheikh Omar Hussein Mussa, akitowa neno la shukrani baada ya kumaliza mazungumzo hayo yaliofanyika Ikulu Zanzibar leo 8-6-2019, walipofika kumsalimia Rais wa Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Ujumbe wa Taasisi ya Al - Hikma Foundation ya Jijini Dar es Salaam iikiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo kulia Nurdin Muhammed Ahmed Kishki, Sheikh Suleiman Khamis Habib, Ndg. Mussa Rajab Mushi na Omar Hussein Mussa., Mwenyekiti wa Al -Hikma Foundation Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mwenyekiti wa Taasisi ya Al -Hikma Foundation Zanzibar, Sheikh Omar Hussein Mussa, akitoa neno la shukrani baada ya kumaliza mazungumzo hayo yaliofanyika Ikulu Zanzibar leo 8-6-2019, walipofika kumsalimia Rais wa Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.,Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe wa Taasisi ya Al -Hikma Foundation ya Jijini Dar es Salaam waliokaa kutoka kushoto Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo Sheikh Nurdin Kishki, Sheikh. Suleiman Khamis Habib na Sheikh.Omar Hussein Mussa na kulia Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, Katibu Ofisi ya Mufti Mkuu Sheikh Fadhil Soraga na Mussa Rajab Mushi.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Taasisi ya Al -Hikma Foundation ya Jijini Dar es Salaam Sheikh Nurdin Muhammed Ahmed Kishki, alipofika IKulu Zanzibar kwa mazungumzo leo 8-6-2019. (Picha na Ikulu).

No comments:

Post a Comment

Pages