HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 13, 2019

Simba yakaa kileleni Ligi Kuu Tanzania Bara

 Wachezaji wa Simba wakishangilia bao la pili lililofungwa na mshambuliaji wa timu hiyo, Miraji Athuman, katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mtibwa Sugar uliofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-1. (Picha zote na Said Powa).
Nyota wa kimataifa wa Brazil, Gerson Fraga Vieira anayechezea Simba akimpongeza Meddie Kagere baada ya kufunga bao la kwanza katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya timu hiyo na Mtibwa Sugar.
Wachezaji wa Simba wakipongezana.

No comments:

Post a Comment

Pages