HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

October 12, 2019

RAIS MAGUFULI AJIANDIKISHA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA 2019

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amesimama kwenye msari na mke wake Mama Janeth Magufuli pamoja na wananchi wengine wakati wakielekea kujiandikisha katika daftari la Wapiga Kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mtaa katika Kitongoji cha Sokoine Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 12/10/2019. (Picha na Ikulu).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amesimama kwenye msari na mke wake Mama Janeth Magufuli pamoja na wananchi wengine wakati wakielekea kujiandikisha katika daftari la Wapiga Kura.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akijiandikisha katika daftari la Wapiga Kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mtaa katika Kitongoji cha Sokoine Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 12/10/2019. Kulia aliyekaa ni Afisa Uchaguzi kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino Mary Joseph Mwambongo.

No comments:

Post a Comment

Pages