Mgombea Mwenza wa Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA Mhe. Salum Mwalimu, akiwasalimia wakazi wa Kata ya Itete jimbo la Malinyi mkoani Morogoro leo Septemba 28, 2020.
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Mhe. Salum Mwalimu, akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika katika Uwanja wa Toboatobo jimbo la Malinyi mkoani Morogoro leo Septemba 28, 202.
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania kupitia CHADEMA, Mhe. Salum Mwalimu, akiwa amepozi kwa
picha na Bibi Anselimina Luambano kabla ya kuhutubia mkutano wa kampeni
uliofanyika katika Uwanja wa Toboatobo jimbo la Malinyi mkoani Morogoro
leo Septemba 28, 2020. Kushoto ni mgombea ubunge wa jimbo la Malinyi
kupitia chama hicho, Imelda Malley.
No comments:
Post a Comment