Na John Marwa
Klabu ya Singida Fountain Gate imekamilisha usajili wa beki Joash Onyango raia wa Kenya kutoka klabu ya Simba SC.
Onyango mwenye umri wa miaka 30 amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu ya Singida Fountain Gate FC.
Onyango anaungana na Pascal Wawa na kuiongoza klabu hiyo katika michezo ya Ligi Kuu Soka Tanzania Bara NBC PL, Azam Sports Federation Cup na Kombe la Shirikisho Barani Afrika CAF CC.
July 07, 2023
Home
Unlabelled
ONYANGO ATUA SINGIDA FOUNTAIN GATE FC
ONYANGO ATUA SINGIDA FOUNTAIN GATE FC
Share This
About HABARI MSETO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment