Na Mwandishi Wetu
Mabingwa wa Tanzania Yanga SC wameshinda mabao 2-0 dhidi ya Asas FC ya Djibouti katika mechi ya hatua ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) ikipigwa katika Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam.
Mabao ya wananchi la kwanza lilifungwa na Aziz KI dakika ya 22 na Kenedy Musonda akaja kumalizia bao la pili dakika ya 53.
Yanga itarudiana na Asas Agosti 26 ikiwa mwenyeji wa mchezo kwa ajili ya kupata mshindi atakayecheza hatua ya kwanza CAFCL.
Ulikuwa ushindi muhimu kwa Wananchi na sasa wanasubiri dakika 90 za pili kuweza kutinga hatua inayofuata.
August 21, 2023
Home
Unlabelled
YANGA YAWATWANGA WA DJIBOUTI KIBABE
YANGA YAWATWANGA WA DJIBOUTI KIBABE
Share This
About HABARI MSETO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.



No comments:
Post a Comment