HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

May 07, 2024

NAIBU KATIBU MKUU TAMISEMI DK. MSONDE AZINDUWA MAADHIMISHO JUMA LA ELIMU KITAIFA, GEITA

 

Mgeni rasmi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayoendelea mkoani Geita, Naibu Katibu Mkuu (Elimu), Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Dkt. Charles Msonde akizungumza alipokuwa akizinduwa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita leo.

Kaimu Mratibu wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Bi. Martha Makala (wa pili kushoto) akimkabidhi mgeni rasmi na Naibu Katibu Mkuu (Elimu), Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Dkt. Charles Msonde nakala ya hotuba ya Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayoendelea mkoani Geita.

Kaimu Mratibu wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Bi. Martha Makala akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita leo.

Wanafunzi wa Shule mbalimbali wakiingia kwa maandamano katika Uwanja wa CCM Kalangalala  kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita.

Wanafunzi wakiwa wameshika mabango ya jumbe anuai katika Uwanja wa CCM Kalangalala kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita.

Baadhi ya wanafunzi wakitumbuiza kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita.

Baadhi ya wanafunzi wakitoa burudani kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita.

Wanafunzi wakiwa wameshika mabango ya jumbe anuai katika Uwanja wa CCM Kalangalala kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita.

Wanafunzi wakiwa wameshika mabango ya jumbe anuai katika Uwanja wa CCM Kalangalala kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita.

Mgeni rasmi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayoendelea mkoani Geita,
  Naibu Katibu Mkuu (Elimu), Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Dkt. Charles Msonde akiwa amesimama na viongozi meza kuu kuimba wimbo wa taifa kwenye Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita leo.

Mgeni rasmi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayoendelea mkoani Geita, Naibu Katibu Mkuu (Elimu), Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Dkt. Charles Msonde (kulia) akisaini kitabu cha wageni huku akipata maelezo alipotembelea Banda la Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET)  kwenye Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita leo.

Mgeni rasmi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayoendelea mkoani Geita, Naibu Katibu Mkuu (Elimu), Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Dkt. Charles Msonde akipata maelezo alipotembelea Banda la Room to Read kwenye Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita leo.

Mgeni rasmi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayoendelea mkoani Geita, Naibu Katibu Mkuu (Elimu), Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Dkt. Charles Msonde, pamoja na Kaimu Mratibu wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Bi. Martha Makala (kulia) wakiwa kwenye Banda la CAMFED akipata maelezo alipotembelea kwenye Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa mkoani Geita leo.

Mgeni rasmi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayoendelea mkoani Geita, Naibu Katibu Mkuu (Elimu), Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Dkt. Charles Msonde, pamoja na mwenyeji wake Kaimu Mratibu wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Bi. Martha Makala wakitembelea Banda la Haki Elimu wenye Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa mkoani Geita leo.

Mgeni rasmi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayoendelea mkoani Geita, Naibu Katibu Mkuu (Elimu), Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Dkt. Charles Msonde, pamoja na mwenyeji wake Kaimu Mratibu wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Bi. Martha Makala wakitembelea mabanda mbalimbali ya wadau wa elimu wenye Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa mkoani Geita leo.

Msafara wa maandamano ya wanafunzi kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita.

Wanafunzi wakiwa wameshika mabango ya jumbe anuai kwa maandamano kuelekea Uwanja wa CCM Kalangalala kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita.

Msafara wa maandamano kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita.

Wanafunzi wakiwa wameshika mabango ya jumbe anuai kwa maandamano kuelekea Uwanja wa CCM Kalangalala kwenye hafla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita.

No comments:

Post a Comment

Pages