HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

December 30, 2012

MIKOCHENI CITY YATWAA KOMBE LA DIWANI


Meya wa Manispaa ya Kinondoni na Diwani wa Kata ya Mikocheni, Yusuf Mwenda akikabidhi kombe la Diwani kwa Nahodha wa timu ya Mikocheni City, Abdul Abdallah baada ya kuibuka mabingwa wa kombe hilo kwa penalti 4-3 katika mechi ya fainali dhidi ya Mikocheni United iliyofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Ushindi, Dar es Salaam.

Mshambuliaji wa timu ya Mikocheni United Keneth Mutta (kulia) akichuana na Jerry Santo wa Mikocheni City katika mechi ya fainali ya kombe la Diwani iliyofanyika kwenye uwanja wa shule ya Msingi Ushindi, Mikocheni, Dar es Salaam juzi. City waliibuka mabingwa kwa mikwaju ya penati 4-3.

No comments:

Post a Comment

Pages