HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

July 30, 2013

WADAU WA HOUSTON TX WAMPA HAFLA NZITO MPIGANAJI "THE CEO" DAVIS MOSHA KATIKA KIWANJA CHA PAPPADEAUX WESTHEIMER

Upscale Spot ndani ya Houston
Mpiganaji maarufu Davis Mosha akiteta jambo na wadau wa Houston, kulia ni Grace Mmari
Juliet, Christa wakifurahia jambo
 Juliet na Christa wakichagua kitengo
Frank Mutafungwa (Mbabe wa zamani Masaki)  na Alex Kassuwi wakiangalia menu
 Wahudumu walikuwa busy sio mchezo kuhudumia wadau
 Christa akimsikiliza "The Boss" alipokuwa akielezea jambo
  Juliet. Kila mtu makini kumsiliza mpiganaji Davis Mosha akiwapa wadau idea za kutoka.
 The Boss, akitafakari jambo
 Frank akisiliza idea toka kwa The CEO Davis Mosha
Kulia, Alex Kassuwi akichangia jambo katika hafla ya chakula iliyoandaliwa na marafiki wa karibu
 PICHA ZOTE NA SWAHILITV.BLOGSPOT.COM

No comments:

Post a Comment

Pages