HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

April 22, 2014

MJADALA WA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA
  Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta(kulia) akibadlishana mawazo Mjumbe wa Bunge hilo Rashid Mtuta (kushoto) leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao cha asubuhi.  (Picha na Bunge Maalum la Katiba- Dodoma)
 Naibu Katibu wa Bunge Maalum ambaye ni Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Thomas Kashillah (mwenye miwani) akibadlishana mawazo na Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao cha asubuhi.
 Naibu Katibu wa Bunge Maalum ambaye ni Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Thomas Kashillah (mwenye miwani) akibadlishana mawazo na Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao cha asubuhi.

 Wajumbe wa  Bunge Maalum la Katiba wakiwasili katika ukumbi wa Bunge leo mjini Dodoma kwa ajili ya kuendelea na mjadala kuhusu maboresho ya Sura ya Kwanza na Sita ya Rasimu ya Katiba mpya.
 Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Profesa Costa Mahalu (kushoto) na Profesa Mark Mwandosya (kulia) wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma kabla ya kuanza mjadala kuhusu maboresho ya Sura ya Kwanza na Sita ya Rasimu ya Katiba mpya.
 Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta akiwasili kwenye ukumbi wa Bunge kwa ajili kuendesha na kusimamia mjadala kuhusu maboresho ya Sura ya Kwanza na Sita ya Rasimu ya Katiba mpya.leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao cha asubuhi.
 Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta akiongoza dua ya kuliombea Bunge na Taifa  kabla ya kuanza mjadala kuhusu maboresho ya Sura ya Kwanza na Sita ya Rasimu ya Katiba mpya.leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao cha asubuhi.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakishiriki dua ya kuliombea Bunge hilo leo mjini Dodoma kabla ya kuanza mjadala kuhusu maboresho ya Sura ya Kwanza na Sita ya Rasimu ya Katiba mpya.

No comments:

Post a Comment

Pages