HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

July 28, 2015

TAASISI YA MANJANO FOUNDATION WAZINDUA MAFUNZO YA WAJASIRIAMALI

Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear illusions Ltd. Mama Shekha Nasser Akitoa Mada kwenye Mradi wake aliouanzisha kuwejengea Uwezo wanawake Kwenye  Ujasiriamali.Mafunzo hayo yalianza jana Chini ya Taasisi ya  Manjano Foundation.Lengo la Mradi huo ni kuwajengea Uwezo wanwake wa Kitanzania Kupitia Bidhaa bidhaa za Vipodozi vya Luv touch Manjano kujisimamia na Kujikita Vizuri kwenye Biashara ya Vipodozi na kujua Mbinu Mbalimbali za Biashara kwa lengo la Kumjengea uwezo Mwanamke wa Kitanzania.
Washiriki wa Mafunzo ya Usajiriliamali yalio chini ya Manjano Foundation wakisiliza kwa Makini Mada Mbalimbali kihusu Mafunzo hayo ya kuwajengea wanawake wa Kitanzania  uwezo wa Kudhubutu Kufanya biashara ,Kujisimamia na Kujua Mbinu Mbalimbali za Biashara Hususani Kupitia Bidhaa za Vipodozi vya Luv Touch Manjano.
Washiriki wa Wafunzo hayo wakisikiliza kwa Makini
Taasisi ya Manjano Foundation, ambayo imeanzisha jukwaa kwa ajili ya kuandaa miradi na programu ambazo zitamuinua mwanamke wa Kitanzania kwa kumwondolea umasikini wa kipato na ambayo itakuwa ni chachu ya kubadili yale yote yaliyoyazunguka maisha yake. Taasisi hii  limekwishazindua mradi wenye kubeba bendera yake, Manjano Dream-Makers, mradi unaokusudia kuzaa kizazi kipya cha wajasiriamali wanawake kwa kutumia kipodozi cha LuvTouch Manjano tu.
Mradi huu Uzinduliwa Na Mama  Tunu Pinda Ambapo  Alisema amefurahishwa sana Kwa Mwanamke wa Kitanzania Kuzindua Mradi utakaomkomboa Mwanamke wa Kitanzania Kuondokana na Umaskini kwa Kudhubutu Kujikita kwenye Biashara hasa kwenye Bidhaa za Vipodozi
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear illusions Ltd. Mama Shekha Nasser  Akiwaeleza jambo washiriki wa Mafunzo hayo.

No comments:

Post a Comment

Pages