THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE
OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512,
2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz
Fax:
255-22-2113425
|
PRESIDENT’S OFFICE,
STATE
HOUSE,
1 BARACK OBAMA ROAD,
11400
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
|
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais waJ
amhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu
Francis M. Mwakapalila kuwa Mhasibu Mkuu wa Serikali kuanzia juzi, Alhamisi,
Oktoba 1 , 2015.
Ndugu Mwakapalila
anachukua nafasi ya Bibi Mwanaidi Mtanda ambaye amestaafu kazi kwa mujibu wa sheria.
Kabla ya
uteuzi wake kuwa Mhasibu Mkuu wa Serikali, Ndugu Mwakapalila alikuwa Naibu Mdhibiti
na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali.
Imetolewa
na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya
Rais,
Ikulu,
DAR
ES SALAAM.
03 Oktoba, 2015
No comments:
Post a Comment