Wapiga picha wa vyombo vya habari wakimpiga picha nyota wa tenisi raia wa Marekani, Serena Williams baada ya kutawazwa bingwa mpya wa michuano ya wazi ya Sony 'Sony Open 2013', ushindi uliokuja baada ya kumchapa Maria Sharapova wa Russia kwa 4-6 6-3 6-0 katika fainali iliyopigwa Miami, Marekani mchana wa leo Jumapili, Machi 31. (Picha zote kwa Hisani ya Gazeti la Daily Mail la Uingereza).

Hapa Serena Williams akiwa ameshikilia taji la ubingwa wa Sony Open huko Miami
Marekani.

Hapa Maria Sharapova
akirudisha mpira kwa mpinzani wake Serena Williams (hayuko pichani), wakati wa mechi ya fainali ya Sony Open huko Miami
Marekani.
Serena hapa akishangilia baada ya kumalizika kwa pambano la fainali Sony Open dhidi ya Mrusi Maria Sharapova na kutawazwa bingwa mpya wa michuano hiyo kwa wanawake.
Hapa Serena Williams akiwa ameshikilia taji la ubingwa wa Sony Open huko Miami
Marekani.
No comments:
Post a Comment