HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

April 17, 2013

UJUMBE WA FIFA WAKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI LEO

 Mkuu wa Idara ya Uanachama wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Primo Corvaro akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo baada ya kumaliza kufanya mahojiano na baadhi ya wagombea walioenguliwa kwenye uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). (Picha na Habari Mseto Blog)

No comments:

Post a Comment

Pages