HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 13, 2020

SAME WAMPOKEA KWA KISHINDO MGOMBEA MWENZA WA CHADEMA

Wanachama na wafuasi wa CHADEMA wakimpokea mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kupitia chama hicho, Salum Mwalimu wakati akiwasili katika jimbo la Same Mashariki kuhutubia mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Maore Standi.


Wanachama na wafuasi wa CHADEMA wakimpokea mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kupitia chama hicho, Salum Mwalimu wakati akiwasili katika jimbo la Same Mashariki kuhutubia mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Maore Standi.

Wanachama na wafuasi wa CHADEMA wakimpokea mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kupitia chama hicho, Salum Mwalimu wakati akiwasili katika jimbo la Same Mashariki kuhutubia mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Maore Standi.

 

Mgombea mwenza kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu, akisalimia na viongozi na wanachama wa chama hicho alipowasili katika Kata ya Maore jimbo la Same Mashariki mkoani Kilimanjaro.

Mgombea mwenza kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu, akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Same Mashariki mkoani Kilimanjaro.

Mgombea mwenza kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu, akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Same Mashariki mkoani Kilimanjaro. Kulia ni mgombea wa ubunge katika jimbo hilo, Kaboyoka Naghenjwa.

Mgombea mwenza kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu, akiwanadi  wagombea udiwani  jimbo la Same Mashariki, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika Kata ya Maore mkoani Kilimanjaro.

Mgombea mwenza kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu, akimnadi  mgombea ubunge jimbo la Same Mashariki, Kaboyoka Naghenjwa, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika Kata ya Maore mkoani Kilimanjaro.

No comments:

Post a Comment

Pages