Taswira za askari wa jadi wa jimbo la Tyrol huko Alpbach nchini Austia wakiingia kwa gwaride rasmi lililoandaliwa kwa heshima ya Rais Jakaya Kikwete aliye katika mkutano wa Kamisheni ya Ulaya mjini humo. Historia ya askari hawa, wanaojulikana kama Schuetzenkompanie, inakwenda miaka ya 1810 wakati wa vita na watu wa Bavaria. Soma historia yao BOFYA HAPA
Sungusungu hao wakiendelea kuwasili
Kila mmoja ana gobole lililotengenezwa kienyeji
Watoto kwa wakubwa wamevutiwa na Sungusungu hao
Gwaride rasmi

No comments:
Post a Comment