HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

October 07, 2013

KARAMA  AMTAFUTA  MASHALI

Karama Nyilawila akiruka juu baada ya kutangazwa mshindi wa ubingwa wa dunia wbfed middle weight katika pambano lililofanyika ulaya.

Aliyekuwa bingwa wa Dunia, middle weight bondia Karama Nyilawila amesema ana hamu kubwa ya kumdunda mtoto wa manzese  Thomas Mashali (ambaye ni bingwa wa Afrika wbfed  middle weight) aliyeutwaa hivi karibuni kwa kumshinda Mada Maugo ,
Mashali akizungumza na vyombo vya habari ameeleza  kuwa mashali ameupata ubingwa huo kibahati na haukubali uwezo wake na alishawahi kucheza na mashali alikuwa hayupo fiti alipigana akiwa na malaria na akatoka  nae sare katika maamuzi ya utata kwa kuwa alikuwa kwao,

Karama nyilawila ambae hivi karibuni atakuwa na pambano  dhidi ya Sado philemon  tarehe 20 ya mwezi huu wa kumi katika ukumbi wa ccm mwinjuma,pambano  liloandaliwa na Ibrahim kamwe wa bigright promotion aliendelea kusema pambano hili akifanikiwa kumpiga sado hataupoteza ufiti wake kwa ajili ya mapambano  yatakayofuata likiwemo la hasimu wake Thomas mashali.

No comments:

Post a Comment

Pages