Hadi mwisho wa mchezo ubao ulisomeka hivi. (Picha na John Dande)
Mrisho Ngasa akimtoka beki wa Mtibwa Sunga. Paul George.
Mashabiki wa Yanga.
Mshambuliaji wa Yanga, Hamis Kiiza akimtoka beki wa Mtibwa Sugar, Paul George.
Wachezaji wa Yanga wakishangilia kwa staili ya aina yake
baada ya mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngasa kuifungia timu yake bao la kwanza
katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara shidi ya Mtibwa sugar uliofanyika leokwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-0.
No comments:
Post a Comment