HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

December 28, 2013

Rais Kikwete atembelea na kuwafariji wagonjwa Muhimbili

 Rais Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mtoto Andrew Simba(15) aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati Rais alipowatembelea na kuwafariji  baadhi ya wagonjwa katika wodi ya Mwaisela leo. (Picha na Freddy Maro) 

No comments:

Post a Comment

Pages