HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

December 22, 2013

SAHEL YAKABIDHI MZANI WA KUPIMIA UZITO MABONDIA

 Mzani wa Kimataifa wa kupimia mabondia.
Mkurugenzi wa Sahel Traing Co.Ltd, Ally hazam kushoto akimkabidhi mzani wa kupimia uzito mabondia kwa Yassin Abdalla 'Ostadhi' mzani huo wenye thamani ya shilingi milioni moja na laki nane umetolewa na kampuni hiyo kutekeleza ahadi yao ya kusaidia mchezo wa masumbwi nchini.

NA MWANDISHI WETU

KAMPUNI ya  Sahel Traing Co.Ltd kupitia kwa mkurugenzi wake Ally Hazam  wametoa mzani wa kupimia mabondia kwa kiwango cha ali ya juu kwa ajili ya kuondoa ubabaishaji wa upimaji uzito kwa mabondia

akizungumza wakati wa kukabidhi mzani huo wenye thamani ya shilingi milioni moja na laki nane  Hazam amesema wameamua kutoa mzani wakitegemea ngumi ndio mchezo pekee ambao unaweza kuretea sifa taifa kwa haraka sana

mchezo ambao unapendwa na watu wengi duniani sema hapa kwetu bado atuja usapoti sana na sisi tume onesha mfano ila tuta enderea kusapoti mchezo wa masumbwi nchini kari tuwezavyo

nae Yassini Abdalla 'Ostadhi' aliye pokea mzani huo ambao utakuwa ukitumika kwa mabondia kupima uzito ususani mapambano ya kimataifa ame shukulu kampuni hiyo kwa kutoa mzani na ni ahai ambayo walikuwa nayo mda mrefu rakini leo 'jana' ndio wameitekeleza 

siku zote dunia nzima cha kwanza kabla mabondia awajapanda ulingoni kwanza wanapima uzito afya ndio mpambano una endelea bila uzani akuna ngumi mana mnaweza kupiganisha mabondia wenye uzani tofauti kitu ambacho akikubaliki dunia nzima

hivyo sina budi kuishukuru kampuni ya Sahel Trading Co. Ltd kwa kunipatia uzani huu.  www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Pages