HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

June 16, 2016

Sherehe za Siku ya Mtoto wa Afrika zilivyofana katika Viwanja vya Jakaya Kikwete youth park

 Meneja wa Huduma za Jamii wa Tigo, Woinde Shishael akizungumza na waandishi wa habari.
 Meneja wa Huduma za jamii wa Tigo, Woinde Shishael akikabidhi hundi ya mfano ya dola 12,000/ kwa Mtendaji Mkuu wa Csema, Kiiga Joel, wakati wa sherehe za siku ya mtoto wa Afrika katika Viwanja vya Jakaya Kikwete Youth ark
 Baadhi ya watoto wakiwa uwanjani.
 watoto katika michezo mbalimbali.
 Watoto katika picha ya Pamoja.
Mmoja ya watoto  wakiwa katika michezo

No comments:

Post a Comment

Pages