Mgeni rasmi Meneja
Mwandamizi Huduma za kibenki na Serikali NMB, Amanda Feruzi,
akivishwa skafu alipowasili katika eneo la mahafali ya Shule ya Sekondari Mashujaa
iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Shule ya Sekondari Mashujaa, Joyce Kivelenge, akizungumza wakati wa mahafali hayo.
Meneja Mwandamizi Huduma za kibenki na Serikali NMB, Amanda Feruzi, akitoa hotuba yake wakati wa mahafali ya Kwanza ya Shule ya Sekondari Mashujaa iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam ambapo jumla ya wahitimu 355 walipata vyeti.
Meneja Mwandamizi Huduma za kibenki na Serikali NMB, Amanda Feruzi, akikata keki wakati wa mahafali ya Kwanza ya Shule ya Sekondari Mashujaa iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam ambapo jumla ya wahitimu 355 walipata vyeti.
Mkuu wa Shule ya Sekondari Mashujaa, Joyce Kivelege, akimkabidhi keki mgeni rasmi. Meneja
Mwandamizi Huduma za kibenki na Serikali NMB, Amanda Feruzi,
akimkabidhi cheti cha shukrani, Rahma Mwafongo, mwanafunzi aliyefanya
vizuri wakati wa mahafali ya Kwanza ya Shule ya Sekondari Mashujaa
iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam ambapo jumla ya wahitimu 355 walipata
vyeti. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya shule, Alphonce Kyessi.
Wanafunzi akipokea zawadi.
Wanafunzi akipokea zawadi.
Msanii maarufu Kajala Masanja akizungumza katika mahafali hayo ambapo alilishwa kipande cha keki kwa shilingi milioni moja.
No comments:
Post a Comment