NA
KENNETH NGELESI, MBEYA
WENYEVITI
wa serikali za mitaa katika Halmashauri ya jijini Mbeya wamegoma kushiriki shughuli zote za maendeleo
wakiishinikiza Serikali kuwapandishia posho kutoka 20,000/ hadi 15000/ kwa mwezi.
Akizungumza
na waandishi wa habari kwa niaba ya Wenyeviti wenzie wa nje ya Ukumbi wa Mikutano
wa Mkapa,jijini Mbeya Charles Kasyupa Mwenyekiti wa mtaa Mwafile Kata ya Ilemi
alisema kuwa wameamua kuchukua hatua hiyo mpaka pale Halmashauri itakapo kuja
na majibu ya malalamiko yao matano likiwemo la kuongezewa posho.
Kasyupa
alisema Wenyeviti wa Serikali za mitaa wamekuwa na majumu makubwa na mengine
hatarishi yakiwemo ya kusuhulishia Migogoro ya ardhi na ndoa lakini posho
wanapo pewa hazilingani na kazi hiyo hiyo wanaomba Serikali iliangalia hilo kwa
kuongeza kutoka kiasi haicho cha shilingi 20000/ kwa mwezi hadi shioingi 150,m000/
kwani Halmashauri imeshindwa kuwasaidia.
Aidha
Mwenyekiti huyo alibainisha kuwa malalamiko yao ambayo walisha opeleka katika
ofisi ya Mkurugenzi lakinni mpaka sasa hayajafanyiwa kazi kuwa ni mrejesho wa
fedha asilimia 20 ya mapato yatonayao ya kodi ya majengo.
Mengine
ni Mikataba ya Milara ya makapuni za Simu, na Nyaya ambazo zipo katika maeno yao Utawala,Bima ya
Afya, na Vitambulisho vya kazi zao.
Akizungumza
changamoto wanazo pata kutokana na kutokuwa na vitambulisho wa kazi Kasyupa
alisema kuwa wamekuwa wakipata shida
sana hasa wanapoa tekeleza majukamu yao hasa wanajo jieleza kuwa wao ni viongozi
wa mitaa katika vituo vya meano ya Polisi wamekuwa wakitakiwa kuitoa
vitambulisho.
‘Tumeamua kugomea kuendelea na kazi kwani
Halmashauri imeonekana kutotilia maanani malalamiko, na ukiangalia sisi
wenyeviti wa Mitaa ndiyo tunaishi na wananchi na tunajua matatizo yao kuliko
hawa Madiwani hivyo tunaomba Serikali iliangalie hili’ alisema Kasyupa.
Akijibu
malalamiko hao Kaimu Mkurugenzi wa jiji la Mbeya, Mussa Mapunda alisema suala
la posho za mwenyeviti hao haipo katika mkataba hivyo na kwamba nafasi hiyo ni
kwa ajili kujitolea na kwamba posho zinategemea zaidi mapato ya halmsahuri
husika.
Aidha
Mapunga alisema kuwa nafasi ya uwenyeviti wa Serikali za mitaa ni kujitolea ni
hata katika fumo za kuwania nafasi hizo zinonyesha wazi.
No comments:
Post a Comment