HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

October 26, 2017

Q-NET YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI

 Waadishi wa habari wakimsikiliza mtoa mafunzo ya bidhaa za Qnet, Sunny Shaper  katika ofisi za Q-NET jijini Dar es Salaam.
 Sunny Shaper akitoa mafunzoa kwa waandishi wa habari juu ya bidhaa za Q-NET  jijini Dar es Salaam.
 Waadishi wa habari katika hafla fupi ya mafunzo ya bidhaa za Qnet wakimsikiliza mtoa mafuno Azal Tholaya iliyofanyika katika ofisi za QNET jijini Dar es salaam.
Wafanyakazi na waakilishi wa QNET  baada ya hafla fupi ya mafunzo ya bidhaa za QNET iliyofanyika ofisi za QNET mjini Dar es laam wakiwemo mwakilishi wa QNET, Tnazania, Benjamin Mariki, mkurugenzi, Frontline Porter Novelli, Helen Kiwia, watoa mafunzo ya bidhaa za QNET, Azal Tholaya na sunny Shaper.

No comments:

Post a Comment

Pages